MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO NA VITENDO KADA MBALIMBALI ZA TRA (18 MARCH 2022)

 Mar 18, 2022



Wasailiwa waliochaguliwa (SELECTED) kuendelea na usaili wanatakiwa kuzingatia muda na sehemu ya kufanyia usaili kama ilivyoainishwa kwenye tangazo la kuitwa kwenye usaili.

NB:(i)Kwa kada zote zitazofanyia usaili Zanzibar,usaili wa mahojiano utafanyika katika CHUO CHA UTALII MARUHUBI -UNGUJA, ZANZIBAR

(ii)Kwa kada za TAX MANAGEMENT OFFICER II,CUSTOMS OFFICER II,TAX MANAGEMENT ASSISTANT II,CUSTOMS ASSISTANT II na RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II zitakazofanyia usaili Dodoma,usaili umepangwa kufanyika â€˜LECTURE ROOMS-COLLEGE OF SOCIAL SCIENCE’ katika CHUO KIKUU CHA DODOMA(UDOM)

(iii) Kwa Kada nyingine zitafanya usaili kama ilivyoelekezwa kwenye Tangazo la awali la kuitwa kwenye usaili

Aidha;

Wasailiwa wote wanatakiwa kufika wakiwa wamevaa Barakoa (MASK)
Wasailiwa wote wanakumbushwa kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
Wasailiwa wote wanatakiwa kufika na vitambulisho vyao


















Click here To Join OUR WhatsApp Groups :

Post a Comment

0 Comments